Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, November 10, 2011

Kampuni ya TTCL katika Maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru


Wanafunzi kutoka shuleza sekondari wakiwa katika banda la Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) lililopo Manzi Mmoja jijini Dar es Salaam yanapoendelea maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru. TTCL ni miongoni mwa makampuni ya mwanzo ya huduma ya mawasiliano nchini. Maonresho haya yameandaliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
Hiki ndo kizazi ambacho haswakina pendakupata historia halisi ya Uhuru wa Tanganyika, miongoni mwa Makampuni ya Mwanzo ni TTCL na hapa wanafunzi wakipata zawadi na vipeperushi juu ya Historia ya Kamouni hiyo.
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Dk. Makame Mbarawa pamoja na viongozi wengine wa Wizara (kulia) wakipata maelezo ya historia ya TTCL hapo zamani.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...