Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 21, 2011

SHOO KALI YA BURUDANI KUPIGWA Novenba 26


Mwimbaji wa Mziki wa KIzazi Kimpya ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjiji, Josephe MBilinyi (Sugu) katikati akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuusu tamasha la burudani kwa mashabiki litakalofanyika, Novenba 26 katika viwanja vya ustawi wa jamii Kijitonyama (kushoto) ni msanii Fred Malik (Mkoloni) na Zainabu Lipagile (Zay B)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...