Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 28, 2011

RAIS DK JAKAYA KIKWETE MARA BAADA YA MKUTANO WAKE NA KAMATI YA CHADEMA JANA


Rais Dk. Jakaya Kikwete akiagana na viongozi wa Kamati ya CHADEMA baada ya mkutano wa jana wa na JK na kamati ya Uongozi ya CHADEMA iliyokwenda kumuona kuzungumzia mchakato wa katiba.
Baada ya maongezi marefu yaliyodumu kwa takriban masaa mawili na nusu, mwenyeji aliwakaribisha wageni wake juisi na chai na kahawa kabla ya kuagana nao kwa furaha
na kuwaomba waende tena kesho Ikulu saa nne ili baada ya kujadiliana na timu yake ya Serikali, maongezi yaendelee
Rais Dk Jakaya Kikwete akiagana na mmoja wa wanakamati huku Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akifurahia jambo.

Rais Dk Jakaya Kikwete akiagana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akisalimiana na viongozi wa Serikali na Mawaziri waliohudhuria katika kikao hicho.

Rais Dk Jakaya Kikwete akifurahia jambo wakati alipokuwa akiongea na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
Rais Dk Jakaya Kikwete akifurahia akizunguma n akamati hiyo jana.
Rais Dk Jakaya Kikwete akimpa glasi ya juisi Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA Freeman Mbowe.

Rais Dk Jakaya KikweteJakaya Kikwete na ujumbe wakiwa katika mkutano na kamati ya CHADEMA jana Ikulu jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...