

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Liu Yunshan kulia akipata maelezo

akiangalia mitambo ya kurusha matangazo ya Kampuni ya Star Media

Wafanyakazi wa kituo cha StarTimes wakisubiri kumpokea Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Liu Yunshan baada ya kuwasili nchini kwa mwaliko wa Chama cha Mapinduzi Dar es Salaam juzi

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Liu Yunshan kulia akielekezwa Mitambo ya Star Times na Ofisa Mtendaji Mkuu. William Lan inavyofanya kazi alipotembelea
No comments:
Post a Comment