Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, November 30, 2011

JERRY MURO SASA YUPO HURU


Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro akitoka mahakamani huku akisindikizwa na mkewe Jennifer John (katikati) leo baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijijini Dar es Salaam kumwachia huru na kuwafutia mashtaka.
Waandishi wa Habari wakifanya mahojiano mara baada ya Mahakamani kumwachia huru na kuwafutia mashtaka.

Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro akifanya mahojiano na waandishi wa habari mara baada ya kuachiwa huru na kufutiwa kesi na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijijini Dar es Salaam.
Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro akiwa na mkewe Jennifer John huku wakiwa na nyuso za furaha.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijijini Dar es Salaam imemwachia huru na kuwafutia mashtaka aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro pamoja na washtakiwa wenzake wawili ambao ni Edmund Kapama na Deogratius Mgasa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuomba rushwa ya tsh.10 milioni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...