Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, April 25, 2013

BALOZI WA UBELGIJI AENDA OFISINI KWA KINANA LEO


 KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akimkaribisha kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, Balozi wa Ubelgiji hapa nchini, Koen Adam, Balozi huyo alipomtembelea kwa ajili ya salam, leo asubuhi.
 KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akimtambulisha Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro kwa balozi huyo.
 KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akizungumza na Balozi wa Ubelgiji hapa nchini, Koen Adam, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, jijini Dar es Salaam, leo, Aprili 25, 2013. Wapoli kulia ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akiagana na huyo baada ya mazungumzo yao. Kushoto ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.(Picha zote na Nkoromo Blog

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...