Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, April 30, 2013

GRANDMALT EXCEL YAPAGAWISHA VYUO VIKUU DODOMA


Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma na St Johns vya mjini Dodoma wakichuana vikali katika Mpira wa Netball kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafundi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia kwenye uwanja wa Jamhuri Mjini Doodoma jana. UDOM ilishinda kwa seti 17-10 za St. Johns.
Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma na St Johns (jezi nyekundu) vya mkoani Dodoma wakichuana vikali katika Mpira wa Basketball kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafundi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia kwenye uwanja wa Jamhuri Mjini Doodoma jana. St. Johns ilishinda 4-3.
 Miti ikichukuliwa tayari kwenda kupandwa..
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Joh Makini akipanda Mti katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dodoma, anaemshuhudia ni  Meneja wa Kinywaji cha Grandmalt, Consolatha Adam. Upandaji miti huo ni sehemu kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Chuo Kikuu Dodoma jana.
Mwakilishi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) mkoani Dodoma, Daniel Lekey akipanda mti katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dodoma, Upandaji mitio huo ni sehemu kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Chuo Kikuu Dodoma jana.
Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha  Dodoma Kitivo cha Elimu, Erick Mhongole (katikati) akisaidiana kupanda Miti katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dodoma, na Meneja wa Kinywaji cha Grandmalt, Consolatha Adam (kushoto) na Mtaalam wa Mazingira Chuoni hapo Nikson Makundi. Upandaji mitio huo ni sehemu kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Chuo Kikuu Dodoma jana.
Waratibu wakijadiala jambo wakati wa tamasha hilo.

Meneja wa Kinywaji cha Grandmalt, Consolatha Adam, akizungumzia zoezi la upandaji miti.
 Waratibu nao wakipanda miti UDOM
Msanii wa Mziki wa kizazi kipya nchini Joh Makini akiwapagawisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa Dodoma kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafundi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia katika Viwanbja vya Nyerere Square Mnini Dodoma jana

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...