Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, April 21, 2013

Ujumbe wa Tanzania wawakilisha mpango wa maboresho ya maendeleo kwa Benki ya Duni

a.

 Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia katikati akifafanua jambo wakati wa majadiliano, kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier.
  Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier akifafanua jambo katika majadiliano hayo.
  Kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dr. Silvacius Likwelile pamoja na Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Dr. Philip Mpango akiwasilisha mpango wa maboresho katika Elimu, Maji, Nishati, Usafirishaji, Rasilimali Fedha na Kilimo.
  Ujumbe wa Tanzania ukuiwasilisha mpango wa maboresho ya maendeleo kwa Benki ya Dunia. Mpango huo unahusu maendeo katika  maeneo ya Elimu, Maji, Nishati, Rasilimali Fedha, Kilimo na Usafirishaji.
 Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia katikati akifafanua jambo wakati wa majadiliano, kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier.
  Ujumbe wa Tanzania ukuiwasilisha mpango wa maboresho ya maendeleo kwa Benki ya Dunia. Mpango huo unahusu maendeo katika  maeneo ya Elimu, Maji, Nishati, Rasilimali Fedha, Kilimo na Usafirishaji.
 Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier akifafanua jambo katika majadiliano hayo.
 Ujumbe kutoka Benki ya Dunia wakifuatilia kwa makini wakati Dr. Mpango akiwasilisha mpango wa maboresho hayo.
 Kutoka kulia ni Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Dr.Mpango akijibu hoja mara baada ya kuwasilisha mpango wa maboresho. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dr. Silvacius Likwelile na Kaimu Balozi  Ubalozi wa Tanzania Washington DC Bibi Lily Munanka. 
Kutoka kulia ni Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Dr.Mpango akijibu hoja mara baada ya kuwasilisha mpango wa maboresho. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dr. Silvacius Likwelile na Kaimu Balozi  Ubalozi wa Tanzania Washington DC Bibi Lily Munanka. Picha zote na Bi. Ingiahedi Mduma na Bi. Eva Valerian – Washington DC

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...