Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 1, 2014

dj films company kutoa filamu mbili mpya

Na Mwandishi Wetu


David Jastin
KIKUNDI cha filamu nchini kimezinduliwa kwa ajili ya kuendeleza na kuibua vipaji vipya katika tasinia hiyo kundi hilo lililoweka makazi yake Mbezi beach jijini Dar es salaam linaongozwa na David Jastin limepewa jina la dj films company

kampuni hiyo inayohusika na utengenezaji wa filamu mbalimbali nchini linatarajia kutoa kazi yake mpya hivi karibuni itakayokwenda kwa jina la Dunia aina siri itakayotoka hivi karibuni

wakati wa uzinduzi wa kundi hilo walimtambulisha rasmi meneja wa kundi anaejulikana kwa jina las Paul Marandu ambaye atakuwa ana husika na kazi mbalimbali za kampuni hiyo pamoja na kundi lake

Jastin aliongeza kwa kusema wameanzisha kundi hilo kwa lengo moja tu kuja kuwainua vijana chipkizi na kuendeleza wale wanaofanya vizuri zaidi 

kundi hili limeshafanya kazi mbalimbali ambazo zipo mtaani kwa sasa  kama Opportunity Love,Binadamu kigeugeu na nyingine nyingi zikiwashilikisha wasanii mbalimbali kama

WastaraJuma,Ndumbagwe Misajo,Chales Magari na wasanii mbalimbali wanaotamba katika anga ya sanaa kwa sasawasanii wa kundi la dj films company

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...