Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, May 30, 2010

FRANCIS MIYAYUSHO AMZIMA MKENYA ANTONY KARIUKI KATIKA RAUNDI YA 7


BONDIA FRANCIS MIYAYUSHO AKICHUANA NA ANTONY KARIUKI WA KENYA


MOHAMEDI CHIPOTA AKIMWELEKEZA JAMBO BONDIA YOHANA ROBART

MIPAMBANO ILIENDELEA HIVII

BONDIA FRANCIS MIYAYUSHO AKITAFUTA MBINU ZA KUMCHAKAZA BONDIA ANTONY KARIUKI KATIKA MPAMBANO WAO WA KIRAFIKI WA KIMATAIFA JANA

BINGWA WA MCHEZO WA KICK BOXER PENDO NJAU AKIFATILIA MPAMBANO UWO

ALLY BAKARI NA OMARI YAZIDU WAKIFATILIA KWA MAKINI MPAMBANO HUWO

MDAU SUFIANI MAFOTO AKIWA KATIKA HARAKATI YA KUCHUKUWA MAJINA YA WACHEZAJI

MAMBONDIA WAKONGWE WALIPOKUTANA KATIKA MPAMBANO HUO KUTOKA KUSHOTO NI SIMONI MLUNDWA RAJABU MLOWE RAJABU MHAMILASUPER D' EMANUEL MLUNDWA NA ANTONI LUTTA

MUSSA HASSANI AKICHUANA NA AUGWA MWITA KATIKA PAMBANO LA UTANGULIZI MUSA ALISHINDA KWA POINTI

MIYAYUSHO AKIPAMBANA KATIKA PAMBANO HILO

VIONGOZI WA TIMU YA NGUMI YA ASHANTI YA ILALA DAR ES SALAAM WAKIFATILIA MBAMBANO HUO JUMA MWALIMU NA EMANUEL MGAYA

MWANDISHI WA TANZANIA DAIMA LUHAZI LUHAZI AKIANGARIA NGUMI NA KONDO NASORO
Na Rajabu Mhamila

BONDIA FRANSCIS MIYAYUSHO ameendelea kutamba baada ya kumchakaza mpinzani wake Antony Kariuki katika pambano la kirafiki la kimataifa katika raundi ya saba mpambano uliofanyika katika ukumbi wa DDC Kariakoo Dar es salaam mwishoni mwa wiki katika pambano hilo raundi ya kwanza ilikuwa ya Francis kupiga ngumi ambazo zilionesha zaili kumuelemea Kailuki mali na hivyo aliokolewa na kengere raundi ya pili ilikuwa na mashambulizi kwa zamu ilipofika ya tatu Francis aliongeza kwa kutupa ngumi mbalimbali zilizomlevya Kairiuki na kuokolewa kwa kengere

Raundi zilizofuata mashambulizi yalikuwa huku na huku ambapo Kariuki arikuwa anacheza mchezo wa kujiami atimae ilipofika raundi ya saba ya mchezo huo Francis alingia kwa kupinga ngumi mfululizo na kuesabiwa baada ya hapo akaendelea kurusha makonde yaliyomsambalatisha mpinzani wake na kushindwa kuendelea na mpambano

Akizungumza baada ya mchezo huo Francis alisema mpinzani wangu amefanya mazoezi sana ndio mana amefika katika raundi hii lakini lengo langu lilikuwa kummaliza katika raundi ya kwanza ya pambano na akusita kumtaja kuwa anamuhitaji kwa hudi na uvumba asimu wake Mbwana Matumla

Mbali na pambano hilo kulikuwa na mapambano ya utanmgulizi yaliyowakutanisha kati ya Kijepa Omari aliyemshinda OMari Bomba kwa point nae Alfa George alimtwanga Yassin Ally kwa K.O ya raundi ya pili na mussa Hassan alimpiga kwa pointi Augwa Mwita nae Yohana Robert ailimshinda kwa point Issa Chalamanda na Ramadhani Kumbela alimshinda kwa K.O Ibrahim Hassan

Ambapo mapambano yote yalikuwa ya kirafiki

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...