Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, May 30, 2010

ZUNGA AITEKA ILALA KWA KUGAWA FULANA ZA JIMBO LAKE KAMA UTITIRI ILI WAJE KATIKA MKUTANO


MBUNGE WA ILALA AKINADI SERA ZA CHAMA CHAKE NA HALIYOYAFANYA KATIKA JIMBO HILO NA KUOMBA KUENDELEA KUWA MBUNGE

MEYA WA ILALA AKITETA JAMBO NA KADA WA CCM

MBUNGE AKIWA NA MMOJA WA MAKADA WA CHAMA CHEKE WAKATI WA MKUTANO WAKE


JOSEFU SENGA AKIPIGA PICHA MBUNGE
BAADHI YA WANANCHI WALIOHUDHURIA WAKISIKILIZA MADA MBALIMBALI

MWANDISHI JOSEFU SENGA WA TANZANIA DAIMA AKIWA KAZINI

mwandishi wa chanal teni faraja akizungumza na mbunge huyo

mbunge wa ilala mussa hazani zungu akihutubia katika mkutano huo

MBUNGE wa jimbo la Ilala Mussa Hazan 'Zungu' amefanya mkutano wa kutangaza hazma yake ya kuendelea kulitumikia jimbo hilo kwa ubunge jumapiri hii katika mkutano mkubwa uliofanyika mtaa wa tanga Ilala Dar es salaam ambapo kabla ya hapo wajumbe wa nyumba kumi kumi wa chama hicho kupewa fulana takilbani elfu kumi ili kuwagawia watu mbalimbali kwa ajili ya kufika katika mkutano huo uliotawaliwa na flana nyingi mpya za jimbo hilo

Akitangaza mambo mbali mbali aqliyoyafanya kipindi cha nyuma na kudai yeye sio msemaji wa leo bali anamuachia Mwenyekiti wa mkoa huo JOhn Guninita apate kuyanzungumza katika mkutano uwo na guninita alisema kuwa wameamua kumpa Zungu mamlaka tena ya kugombea Ubunge kwani wanaona nia yake ya kuleta maendele ya watu wanaozunguka katika jimbo hilo

Kwenye wengi pana mengi nikapata nafasi ya kuzungumza na mwana mama mmoja aliyekuwa katika mkutano huo akidai mimi mwana chama lakini jana wamepitisha fulana mimi awajanipa kwa kweli zungu ni mtu wa watu katika Wilaya ya Ilala anafika adi kwenye misiba nimeshughudia kwa macho yangu tuylipatwa na msiba jirani akaja akasaidi ila wapambe wake sio watu wazuri kwa kweli alisema mama huyo

Zungu kwa sasa amekuw akiwa kalibvu na watu mbalimbali kwa ajili ya kuakikisha anaendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia tiketi ya chama chake ya mapinduzi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...