Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 17, 2010

UDSM MABINGWA WA MCHEZO WA POOL KWA VYUO VYA ELIMU YA JUU DAR ES SALAAM



Mabingwa wa kihistilia wa mchezo wa pool kwa vyuo vikuu vya Elimu ya juu DUSM wakiinuwa kikombe chao baada ya kukabidhiwa Dar es salaam jana

Mchezaji wa timu ya CBE ,Elick Mwakibinga akijitaarisha kupiga mpira wakati wa mashindano hayo jana




Baadhi ya viongozi wa mchezo wa pool wakipanga jinsi fainal zitakavyochezwa


Mchezaji wa tatu bora Shukrani Kawogo akikabidhiwa kitita cha pasa taslim,50,000 kutoka kwa Naibu Waziri mwenye dhamana ya michezo Joel Bender



Katibu Mkuu wa Mchezo wa pool Tanzania akiteta jambo na Naibu Waziri mwenye dhamana ya michezo Joel Bendera, wakati wa fainali za mchezo wa pool kwa vyuo vikuu vya DAr es salasam



Waandishi wakishughudia mchezo wa pool uliomalizika dar es salaam jana kulia ni Victoria Mkumbo na

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...