Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 6, 2010

EXTRA BONGO YAENDELEA KULISHIKA JIJI LA DAR ES SALAAM


Mpigaji wa bess wa bendi hiyo Alfan Kamodee na mpiga ngoma wakitoa burudan wakati wa onesho lao
Wasanii wa bendi ya Extra bongo wakiwajibika wakati wa onesho lao kushoto ni Salum Issa 'chakuku' na mwimbaji Rashidi Mwezingo 'Silver Boy
Wanenguaji wa bendi ya extra bongo wakiwajibika wakati wa onesho lao
Waimbaji wa Bendi ya Extra bongo, Atanas Montanabe (kushoto) na Ally Choki wakiwajibika wakati wa onesho lao lililofanyika katika ukumbi wa mango garden juzi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...