Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 9, 2010

WAISLAM WAANDAMANA KUDAI MAHAKAMA YA KADHI NCHINI


Waislamu wakiandamana na Bango lenye ujumbe unaosomeka Tunataka Kadhi anayetambulika Kikatiba na si BAKWATA na CCM Kadhi lazima hata kwa Jihad" maandamano hayo yameanzia katika viwanja vya Mnazi Mmoja na kuishia maeneo ya Manzese jijini Dar es salaam.
Waislamu wakifanya Maandamano katika barabara ya Morogoro wakidai mahakama ya Kadhi leo mara baada ya swala ya Ijumaa www.fullshangwe.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...