Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, July 10, 2010

MISS TEMEKE HAPATIKANA


Miss Temeke 2010 Geneviva Emmanuel akipungia mashabiki mkono mara baada ya kumtangaza mshindi wa shindano hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe jijini Dar es salaam kushoto ni mshindi wa pili Anna Daud na kulia ni mshindi wa tatu Britania Urasa, Mwenyekiti wa kamati ya Miss Temeke Bw. Benny Kisaka alisikika akisema hizi ndiyo pini za Miss Temeke zitakazo wakilisha shindano la taifa la Vodacom Miss Tanzania hapo baadae na tuna uhakika na pini hizi kwamba zitatikisa katika shindano hilo kubwa nchini na kushinda hatimaye kumpata Miss Tanzania kutoka kandaTemeke.
tano bora ya Miss Temeke 2010 mara baada ya majaji kutangaza matokeo hayo www.fullshangwe.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...