Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, December 13, 2011




KAMBI YA ILALA YAMNOA UBWA SALUMU KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE WA DESEMBA 25





Bondia Ubwa Salumu akioneshana kiwango cha masumbwi na bondia Abuu Mtambwe wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ngumi Ilala Ubwa anajiandaa na mpambano wake na Mustafa Doto litakalofanyika desemba 25 katika ukumbi wa Heineken Mtoni Kijichi Dar es salaam

Ubwa Salumu kushoto akioneshana ufundi wa kutupa masumbwi na Abuu Mtabwe katika mazoezi kambi ya Ilala Dar es salaam

Kocha Mkongwe wa Mchezo wa ngumi Habibu Kinyogoli kulia akiwaelekeza mabondia Ubwa salumu na Abuu Mtambwe jinsi ya kutupa Masumbwi wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala




No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...