Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 27, 2013

GAPCO .T. LTD KUTOA ELIMU YA OIL YA GAPCO RELSTAR NCHI NZIMA




Mwakilishi wa Gapco  Afrika Mashariki Bw. Suraj Vikash akizungumzia promosheni hiyo

Na Mwandishi wetu 
Mwakilishi wa Gapco  Afrika Mashariki Bw. Suraj Vikash  amesema Dar es salaam leo juu ya oil mpya ya virainishi vya injini pamoja na mitambo ambayo inafaa kwa magari madogo makubwa na faida zake ni nyingi ikiwemo ulinzi  thabiti wa injini,na maisha marefu utumiaji mdogo wa oil na aitopoteza ulaini wake inaondoa uchafu ugando kwenye injini

ambapo mteja anafuraia mwendo wa starehe injini safi zaidi umbali mrefu hizo ni baadhi ya sifa za oili ya gapco relstar bidhaa hiyo gapco Tanzania LTD  ni moja ya makampuni inayosambaza bidhaa hiyo ya oil  ambayo inauzwa kwa jumla na rejareja na kwa Tanzania wao ni mawakala wakuu wa mafuta ya virainishi vya injini
gapco relstar ni bidhaa bora ya virainishi vya injini mbalimbali

oil hiyo inayotengenezwa na kampuni ya
gapco Tanzania LTD ambayo ilianza kutoa bidhaa hiyo mwaka 2010 imekuwa chachu na yakutegemewa ndio mana wameamua kuleta bidhaa hiyo nchini hili watu waijue 

kuwa ni bidhaa pekee katika vyombo vyao ikiwemo magari,pikipiki pamoja na vyombo vyote vinavyotumia vipuli Gapco relstar imeweka nia ya kuwasambazia watanzania Oil hiyo  ya virainishi vya mashine katika mikoa yote nchini kwa ajili ya kulinda fedha zao wateja kwa kuwa inadumu kwa muda mrefu ambapo kwa sasa kuna matangazo ya barabarani kwa Tanzania nzima kuwapatia elimu ya manufaa kwa ajili ya kutumia oil hiyo wapate unafuu katika kutumia bidhaa hiyo alisema Bw.Vikash wakati anatangaza bidhaa hiyo ambayo itawasaidi watu mbalimbali
 
'Umbali mrefu kwa thamani ya pesa yako'

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...