Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 19, 2013

SHIWATA WAKUTANA NA VIONGOZI WAKUU WA MKURANGA

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi. Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...