Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 29, 2013

VIPAJI VYA MCHEZO WA SOKA MKOA WA TANGA HIVI HAPA


Mchezaji wa timu ya Watukutu kulia Idrisa Bakari akijaribu kumtoka mchezaji wa timu ya Sepras ya jijini Tanga wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika katika viwanja vya walewale Makolola jijini Tanga leo picha na blog ya SUPER D

Mchezaji wa jimu ya Sepras Hassani Abdallah akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Watukutu wakati wa mchezo wao wa kirafiki picha na blog ya SUPER D

TIMU YA Sepras picha na blog ya SUPER D

Wachezaji wa Watukutu


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...