Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 1, 2010

WAANDISHI WATOA SAPOTI KWA KOCHA MPYA WA ZANZIBARI


Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Zanzibar, Stewart Hall, kutoka Uingereza akisaini mkataba wa miaka mitano wa kuifundisha timu hiyo katika hafla iliyofanyika kisiwani. kushoto kwake ni Rais wa Shirikisho la Soka la Zanaibar (ZFA) Ali Ferej Tamim
waandishi wa habari wakiwa makini wakati wa kusaini mkataba wa kocha mpya wa ZANZIBAR
SOPHIA ,MWANI, JAKIPEMBA ,TOLE wakiwa na nyuso za furaha kabla ya kufika ZANZIBARA lakini walipofika mambo yalikuwa tofauti wakanuna bwana
BAADA YA STEWART KUSAINI MKATABA WA MIAKA MITANO SASA RAIS WA ZFA ALI FEREJ TAMIM AKISAIN.na jenejohn5.blogspot

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...