Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 9, 2011

EXTRA BONGO WAENDELEA KUITEKA DAR KATIKA BURUDANI

Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo,Ally Chocky akiimba wakati wa onyeso la Bendi hiyo lililofanyika Mzalendo Pub Dar es Salaam Kutoka kulia ni Banza Stone ,Ally Chocky na Rama wakiimba


Mwambaji wa Bendi hiyo Rama Pentagoni akiimba

Banza Stone akiimba


Athanas Motanabe akkimba

Mpiga bass, Hosea Mgoati akifanya vitu vyake



Ally Choki akicheza sambamba na wacheza shoo wake







Wacheza shoo wa kike wakicheza wakati wa onyesho hilo



Rapa wa bendi hiyo,Faghason akiimba sambamba na wacheza shoo wake




No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...