Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 17, 2011

SIKU YA MTOTO WA AFRICA


Wanafunzi wakifuatilia sherehe hizo...
Ilifika wakati wa kucheza na kufurahi...watoto wa St. Kayumba walijimwaga kisawasawa na vibwebwe kiunoni wakicheza Alaji.
watoto kutoka "ST Mroki" wao mambo ya alaji yaliwapitia kushoto na Alaji wao iliwashinda wakasimama wima.
Hakika mtoto wa Afrika anahitaji sana Ulinzi, kupendwa, kupata huduma safi na bora, elimu, na kila hali ambayo itamfanya mtoto wa Afrika hasa Tanzania akue vyema katika malezi yaliyojaa maadili ili kuepusha kuwapo kwa watoto wa mtaani ambao chanzo chake ni malezi mabaya katika familia zetu.
TUPAMBANE NA ONGEZEKO LA WATOTO WANAOISHI MTAANI.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...