Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, December 7, 2011

MIAKA 50 YA UHURU YAENDEREA KUFANA VIWANJA VYA SABASABA

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Matangazo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bi, Sarah Kibonde (kushoto) na Ofisa uhusiano wa mamlaka hiyo wakitoa maelekezo, mbalimbali kutoka kwa wananchi waliofika katika banda lao wakati wa Mahadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika viwanja vya Mwalimu nyerere sabasaba Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...