Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 31, 2012

MTU MMOJA AJERUHIWA MADARASA SITA YAEZULIWA NA UPEPO.


Madarasa ya shule ya sekondari mnacho yaliyoezuliwa na upepo mkali uliovuma jana kwenye baadhi ya Vijiji Wilayani Ruangwa na kusababisha watu kadhaa kukosa mahala pa kuishi na kusababisha watu wengine kujeruhiwa pamoja na madarasa hayo sita kuezuliwa mapaa.
Bati zilizoezuliwa na upope huo mkali ulioacha athari kubwa.
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa Reubern Mfune Akitoa taarifa ya maafa hayo ya jana katika kikao cha  Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Ruangwa  kwenye kikao kilichofanyika leo. Picha na Ahmed Abdullazizi-Lindi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...