Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, December 29, 2012

SERIKALI YA AHIDI KUMALIZA TATIZO LA MAFAO YA KUJITOA.


Waziri wa Ajira na Kazi, Gaudensia Kabaka (kushoto), akitembelea moja ya miradi mikubwa ya ujenzi wa shule inayotekelezwa na mgodi wa North Mara unaomilikiwa na kampuni ya African Barrick Gold (ABG) wakati wa ziara yake kwenye mgodi huo uliopo wilaya ya Tarime mkoa wa Mara hivi karibuni. Kushoto kwa waziri ni Mkurugenzi wa ABG wa Mahusiano na Serikali, Bw. Emmanuel ole Naiko.
Waziri wa Ajira na Kazi, Gaudensia Kabaka (kulia), akitembelea kituo cha afya cha Nyangoto kilichopo wilaya ya Tarime, mkoa wa Mara, ambacho kimepata ufadhili mkubwa wa ukarabati na vifaa kutoka kwa mgodi wa North Mara unaomilikiwa na kampuni ya African Barrick Gold (ABG). Pembeni ya waziri ni Mkurugenzi wa ABG wa Mahusiano na Serikali, Bw. Emmanuel ole Naiko.

Waziri wa Ajira na Kazi, Gaudensia Kabaka (katikati), akitembelea moja ya miradi mikubwa ya ujenzi wa shule inayotekelezwa na mgodi wa North Mara unaomilikiwa na kampuni ya African Barrick Gold (ABG) wakati wa ziara yake kwenye mgodi huo uliopo wilaya ya Tarime mkoa wa Mara hivi karibuni. Kulia  ni Mkurugenzi wa ABG wa Mahusiano na Serikali, Bw. Emmanuel ole Naiko.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...