Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, March 19, 2013

Huyu Ndio Msanii Anaye Ongoza Kulipwa Hela Nyingi Kutokana na Ringtones za Simu







Mwanzilishi wa kampuni ya Push Mobile inayohusika na uuzaji wa miito ya simu, ringback tone (RBT) amesema Diamond ndiye msanii wa Bongo Flava anayeingiza fedha nyingi zaidi.

Shamte ametoa taarifa hiyo jana alipokuwa akizungumza kwenye kongamano la mchango wa technolojia ya habari na mawasiliano ICT kwenye tasnia ya muziki nchini katika kituo cha ubunifu wa technolojia hiyo cha KINU jijini Dar es Salaa

"That boy is hot, you have no idea how much money he makes from RBT, I handle that account true story,” alisema Rashid. Alipoombwa ataje ni kiasi gani Diamond anaingiza kutokana kuuzwa kwa nyimbo zake, Rashid alisema, “lots… let’s just say he is happy.” Lakini Shamte alisema kama angekuwa na umaarufu kama Diamond alionao angeingiza fedha nyingi zaidi kuliko sasa.

“If I was hot like Diamond trust me I would be rich and I would not need to have anybody manage me or anything, I would put up a website, I would put snippets of all of my tracks because I can’t really make any money from radio, I would dump a bunch of songs onto radio, I will make sure you can stream a little bit of it but if you want all of it, I will make you pay me 200 using M-Pesa, if you want to download it I will make you pay me a hundred using M-Pesa.”

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...