Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 29, 2013

MATUKIO MUHIMU KUTOKA RUVUMA


 Baadhi ya waandishi wa Habari mkoani Ruvuma kulia wakimsikiliza mhandisi wa maji taka na mazingira wa mamlaka ya maji safi na taka manispaa ya Songea9SOUWASA) Eddie Emanuel  jana wakati walipotembelea mabwawa ya maji taka katika eneo la Londoni mjini Songea.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga wakimsikiliza mwenyekiti wa halmashauri hiyo Oddo Mwisho(hayupo pichani0wakati wa kikao chao hivi karibuni mjini Mbinga.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...