Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, March 26, 2013

MASHINDANO YA SHIMIWI KUFANYIKA SEPTEMBER 21 HADI OCTOBER 5 MKOANI DODOMA




SHIRIKISHO la michezo kwa wizara, idara ,taasisi na mashirika ya serikali limewataka viongozi wa michezo kudhibitisha mapema ushiriki wao katika mashindano kabla ya AUGASTI mwaka huu na kutuma majina ya michezo watakayoshiriki.
Katibu mkuu wa SHIMIWI RAMADHANI SULULU amesema mashindano hayo yamepangwa kufanyika SEPTEMBER mwaka huu mkoani DODOMA lakini yamekuwa yakigubikwa na mamluki jambo ambalo halikubaliki katika mashindano hayo 
SULULU amesema shiriki wanatakiwa kuanza mazoezi mapema ,lakini kulipa ada ya uwanachama shilingi laki sita, ada ya ushiriki laki nne na mchango wa ujenzi wa kiwanja laki mbili.
Mchezo inayoshindaniwa ni soka, netiboli kukimbia, kuvuta kamba, darts, drafti, baiskeli, karata pamoja na mchezo wa bao.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...