Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 1, 2013

TASWIRA ZA MSIBA WA MSANII ALBERT MANGWEA HUKO MBEZI BEACH NYUMBANI KWA BABA MDOGO WAKE

















MAOMBOLEZO ya msiba wa aliyekuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, marehemu Albert Mangwea, yameanza nyumbanmi kwa baba yake mdogo, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambako jana jioni ndugu, jamaa na majirani walikutwa wakiwa katika matayarisho ya kuupokea mwili wa marehemu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...