Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 3, 2012

MPIGA PICHA MKUU TANZANIA DAIMA AACHANA NA UKAPERA LEO


Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga akiwa na mke wake, Fridah Mockray wakati wa ibada ya ndoa takatifu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Sinza jijini Dar es Salaam jioni hii. (Picha zote na Habari Mseto Blog)
 Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga akiwa katika pozi na mke wake, Fridah Mockray mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa Katoliki Sinza jijini Dar es Salaam jioni hii. (Picha zote na Habari Mseto Blog)
Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga akipongezwa na mama yake mzazi
Pozi la harusi
Picha ya pamoja
Maharusi wakitoka Kanisani
Matron akisaini cheti

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...