Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 28, 2013

MOHAMED BAWAZIR AONGOZA KIK AO CHA KUANGALIA MUSTAKABALI WA KATA YA JANGWANI

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kata ya Jangwani, Mohamed Bawazir kulia akizungumza na viongozi wa CCM pamoja na wadau wa chama hicho wa kata hiyo juu ya mustakabali mzima wa kata hiyo baada ya kuongoza ndani ya kipindi cha miezi sita kushoto Katibu Wake Majala Balawa
Baadhi ya wanachama na viongozi wa CCMwakifatilia mkutano huo
Mmoja ya wanachama wa CCM wa kata ya jangwani Maaarufu  kwa jina la mlipula na Nuguze akijitambulisha kwa wanachama wenzie
wanachama wakimsikiliza mwenyekiti
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Jangwani Mohamed Bawazir kulia akiteta jambo na Katibu Wake Majala Balawa wakati wa mkutano wa mustakabali mzima wa kata hiyo baaa ya kuongoza kwa miezi sita

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...