Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 28, 2013

SIMBA YAPOKEA KICHAPO CHA BAO 2-1



Azam waliendelea kulisakama lango la Simba na kufanikiwa kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Kipre Tchetche dakika ya 45 akimalizia krosi safi ya Erasto Nyoni na kufanya timu zote kwenye mapumziko zikiwa zimetoshana nguvu kwa bao 1-1.  

 Mpaka mwisho wa mchezo Simba imepokea kichapo cha kwanza tokea ligi kuu ya Vodacom baada ya kulala kwa Timu ya Azam Fc baada ya kufungwa bao 2-1 katika mchezo uliochezwa leo uwanja wa Taifa jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...