Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 24, 2013

WATANZANIA WAZIDI KUJIFUA MASHINDANO YA TUSKER PROJECT FAME



 Washiriki Tusker Project Fame msimu wa 6 kutoka Tanzania Angella Karashani(Angel)na Elisha Maghiya(Hisia)wakisikiliza musiki kwa makini wakisubiri kupata maelezo kutoka kwa viongozi wa jumba la Tusker Project Fame wakati wa mazoezi ya kujinoa na shoo ya Jumapili.
 Mmoja wa washiriki kutoka Tanzania Hisia (katikati mwenye tisheti nyeusi)akiwa pamoja na washiriki wenzake wa kiume wakifurahia mtoko baada ya kuwashinda washiriki wa kike.
 Washiriki Tusker Project Fame msimu wa 6 kutoka Tanzania Angella Karashani(Angel)na Elisha Maghiya(Hisia)wakisikiliza musiki kwa makini wakisubiri kupata maelezo kutoka kwa viongozi wa jumba la Tusker Project Fame wakati wa mazoezi ya kujinoa na shoo ya Jumapili.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...