
Akilimali akimshukuru Masala Mabula
ambaye ni mchezaji aliyeibuliwa kipaji chake katika michuano ya
Malembeka Cup iliyomalizika hivi karibuni ambaye sasa anajiandaa kwenda
Msumbiji kucheza soka la kulipwa. Masala alifuatrana na Diwani huyo
(kulia)
Luhende na Akilimali wakifurahia vifaa hivyo baada ya kukabidhiwa na diwaniDiwani na Akilimali wakiwa na baadhi ya waandishi na watangazaji wa Uhuru baada ya makabidhiano hayo.
Mtangazaji wa Uhuru FM, Mhina Dungumalo akimhoji diwani huyo baada ya makabidhiano Imetayarishwa na theNkoromo Blog
No comments:
Post a Comment