Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, January 13, 2011

hepi besdei ya ahmad Michuzi jnr leo

Ahmad Michuzi Jnr leo anasherehekea hepi besdei yake ya kuzaliwa akisisitiza ni vyema kumshukuru Mungu kwa kila jambo atendalo kwetu sisi waja wake, kwa maana yeye ndiye mwingi wa rehema siku zote katika maisha yetu. Globu ya Jamii inampa hongera kwa kuzaliwa leo na kumtakia maisha mema yeye na familia yake huku akiendelea libeneke katika kijiwe chake cha Jiachie ambacho anakukaribisha mdau yeyote popote ulipo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...