Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, January 23, 2011

SHUJAA WA SAFARI LAGER AKABIZIWA MILIONI SABA


Kiongozi wa bendi ya Mjomba, Mrisho Mpoto akiimba wakati wa onesho lalo wakati wa kumsaka shujaa wa Safari Lager Dar es salaam juzi
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dkt. Makongoro Mahanga akimkabidhi mshindi wa shindano la Shujaa wa Safari Lager Bw. Paul Luvinga mfano wa hundi ya shilingi milion saba Dar es salaam juzi wanaoshuudia kushoto ni Meneja wa bia hiyo Bw. Fimbo Butallah kushoto Mkurugenzi Rasilimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL Bw.(Stive Kilindo na Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni hiyo Bw. Davidi Minja

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...