Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, January 23, 2011

NMB YATOA MSAADA SHULE YA MONDULI JUU

Ofisa Uhusiano wa NMB, Doris Kilale (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi wa tanki la maji kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Monduli Juu, Elinuru Sumari (kulia). Wengine ni Meneja wa Benki tawi la Monduli.Asterina Mwigamba (wapili kushoto) na Ofisa Mikopo wa benki hiyo, Helga Nkini. Tanki hilo litakuwa na uwezo wa kuhifadhi maji lita 600. Sherehe ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo jana. (NA MPIGA PICHA WETU)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...