Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, January 12, 2011

SIKU YA FAMILIA YA KONYAGI

Mr.Mngwasa aingia kati kuokoa jahazi katika mashindani ya kujaza maji katika chupa. Wanasaka ushindi Ilikuwa ni mashindano ya kujaza maji ktk chupa

Sasa twaweza kucheza muziki kiduchu


Ushindi mtamu Mama Resti wampangawisha
Namimi siko nyuma na my swiiiiiiiiitiiiiii mwaaaaaaaaa


hapa muziki2 Familia kivyake nami Kivyangu



Nimetoka Jiji la Mwanza kuja Kujimwanga na Wanangu mie!!

Watoto hawa ni wanani




Nango na familiayake pia walikuwapo



Oneni nyani wanangu



Bi.Mariam akiongoza kikosi kwenda kujionea wanyama



Ngamia

http://prhabari.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...