Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, March 30, 2011

ILALA WAENDELEA NA MCHAKATO WA KUTEUA TIMU YA WILAYA KATIKA MASHINDANO YA UMISETA


Mshambuliaji wa timu ya Kundi B, Dafroza Steven, akijaribu kumtoka beki wa timu ya kundi D, Halima Faustine, wakati wa mchezo wa mashindano ya Umiseta yanayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa wasichana wa Shule za Sekondari za Wilaya ya Ilala. Michezo hiyo ni maalum kwa ajili ya kuteuwa wachezaji watakaounda kikosi cha timu ya Ilala itakayochuana na timu ya Ukonga katika michuano hiyo ya Umiseta.
http://sufianimafoto.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...