Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 25, 2011

MASHABIKI WA MSONDO WAFURAHIA BURUDANI TOKA KWA BENDI HIYO


Baadhi ya mashabiki wa bendi ya msondo ngoma wakipiga makofi kumshangiria mwanamziki mpya wa bendi hisho Shabani Dede 'Super Motisha' baada ya kuanza kuimba katika ukumbi wa Max bar Ilala Bungoni

Rapa wa bendi ya Msondo Roman Mng'ande 'Romario' akienda sambamba na mashabiki wa bendi hiyo waliofulika kuja kumuangalia mwanamziki mpya Shabani DEde 'Super Motisha' wakati wa onesho lao lililofanyika Ilala Mwishoni mwa wiki

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...