Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 25, 2011

WAISLAM WAFANYA MAANDAMANO YA KUIPINGA MAREKANI NA WASHIRIKA WAKE KUISHAMBULIA LIBYA

Isharaa ya Umoja ya kuilinda Nchi ya Libya ikionekana na sura ya Rais Mo'ammar Al-Gaddafi
Baadhi ya Waislam wakiwa katika viwanja vya biafra Kinondoni Dar ES salaam jana kuipinga Marekani na washirika wake kuishambulia Libya
Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiandamana kutoka Msikiti wa Mtambani, Kinondoni Dar es Salaam jana kwenda viwanja vya Biafra ambako kulikuwa na mkutano wa kulaani mashambulizi ya majeshi ya Marekani na washirika wake dhidi ya Libya

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...