Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, March 30, 2011

MBUNGE WA JIMBO LA LUDEWA AENDELEA KUTEKELEZA SEHEMU YA AHADI ZAKE

Mbungea wa Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombee, akijaribu uwasha Trekta, wakati wa hafla fupi ya kukabidhiana iliyofanyika leo.
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe (kushoto) akimkabidhi kadi ya Trecta, mratibu elimu wa kanda ya Lugarawa,Vitaris Haule kwa ajili ya kuwezesha kulima mashamba ya shule ili kutoa chakula mashuleni. Picha na Francis Godwin

Diwani wa kata ya Lugarawa wilaya ya Ludewa mkoani Iringa, Fromena Haule akipokea kombe litakaloshindaniwa katika kata yake katika mashindano ya mbunge Deo Filikunjombe wa jimbo hilo ambapo mshindi atapata kombe hilo la dhahabu na Ng'ombe mashindano kama hayo ni kwa kata zote za jimbo hilo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...