Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, March 27, 2011

Tamasha la Uzalendo lilivyofana


Wanamuziki Hassani Moshi akiwa na Shabani Dede wa band ya Msondongo mawakiimba pamoja katika tamasha la Uzalendo katika viwanja vya Biafra Dar es Salaam.
Mashabiki wakifuatilia tamasha hilo leo licha ya jua kali lililokuwa likiwaka.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...