
Mpiga gita la Solo Abdul Ridhiwani 'Pangamawe wa Msondo akiwapagawisha mashabiki wakati wa mpambano wao na Sikinde jana

Mashabiki wa Sikinde wakilisakata lumba

JUma Katundu akiwa sambamba na Nacho Mpendu Mama Nzawisa

Mashabiki wa Msondo wakifuraia magitaa yalivyokuwa yakikungutwa

Hasani Moshi 'Tx Jr' kushoto na Shabani Dede 'Super Motisha'

Waimbaji wa Msondo wakilishambulia jukwaa wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana

Wanamziki wa bendi ya Sikinde wakilishambulia jukwaa kulia ni Husein Jumbe, Hassani KUnyata na Abdalah Hemba

Hassani Kunyata na Husein Jumbe wakiimba

Abdalah Hemba akimba sambamba na kucheza na mnenguaji wa bendi ya Sikinde
No comments:
Post a Comment