Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, March 13, 2011

tigo wakabidhi nissan hard body kwa mshindi wa promosheni ya bahatika

Ofisa Viwango wa Tigo, David Zakaria akikabidhi funguo ya gari aina ya Nissan Hard Body yenye thamani ya shs milioni 56 kwa mshindi wa promosheni ya Bahatika na Tigo, hafla iliyofanyika katika viwanja vya Coco Beach, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Ofisa Uhusiano wa Tigo Tanzania, Jackson Mmbando akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi ya gari ya promosheni ya Bahatika na Tigo ambako washindi wawili walikabidhiwa magari yao aina ya Nissan Hard body yenye thamani ya shs milioni 56 kila moja jijini Dar es
Salaam mwishoni mwa wiki.
Mwanamuziki wa kizazi kipya Chidi Benz akifanya vitu vyake katika onyesho hilo.
Joe Makini akiwachengua umati wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika onyesho la Bahatika na Tigo katika viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waliofurika katika viwanja vya Coco Beach, Dar es Salaam kushuhudia onyesho la Bahatika na Tigo ambalo washindi walikabidhiwa magari yao ainaya Nissan Hard Body.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...