Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, March 1, 2011

..KANUMBA AINGIA NA .''''THE SHOCK''


THE GREAT KAZINI NA .....
Kama alivyojitambulisha mwishoni mwa mwaka jana Steven Kanumba 'kanumba' kwa kusema hapo mwanzo kuwa yeye si mwingi wa manene bali ni kazi tu kazi tu,ndio hivyo amenza kushoot movie yake mpya mara baada ya kumaliza ziara yake HOLLYWOOD(USA),Jina la movie ni ''THE SHOCK'' Katika movie hii aeendeleza na utaratibu wake wa kutambulisha na kuibua vipaji vipya kabisa ambavyo havijawai kuonekana katika movie yoyote kama ilivyokuwa mwaka jana alipomtambulisha JENIFER,PATRICK NA PATCHO sasa katika ''THE SHOCK''..anawaleta kwenu SHAZ SADRY kwa mwaka huu ambaye ndiye mhusika mkuu katika movie hii na kwa mwaka huu mtamuona sana katika movie zangu kama msanii mpya na mwenye viwango vyote vya uigizaji bora katika filamu. alisema kanumba apapo filamu hiyo imepewa baraka zote na Kampuni ya kusambaza ya Steps Entetainment ya jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...