Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, March 27, 2011

WAKAZI WA KOTA ZA BANDARI KARIAKOO WATAKA MKUCHIKA AJIHUZURU KWA KUMUONGOPEA RAIS


Mwanasheria wa Kampuni ya Kibasila Estates Public Limited Dkt. Sengondo Mvungi akifafanua jambo wakati wa mkutano wa dharula na wateja wake wa Kota za Bandari Gerezani Kariakoo Dar es salaam juzi baada ya taarifa iliyotolewa na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. George Mkuchika kwa rais Jakaya Kikwete alipotembelea ofisini kwake na kusema imeshinda Serekali na wananchi hao wamekata rufaa wakati kesi hiyo imeamliwa iongelewe nje ya mahakama kwanza

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...