Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, March 27, 2011

Pinda azindua Kliniki ya macho KCMC

Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL),Teddy Mapunda akimkaribisha mgeni rasmi,Waziri Mkuu Mh Pinda pamoja na wageni waalikwa mbalimbali kwenye hafla hiyo fupi ya uzinduzi wa kliniki ya Macho ya KCMC mapema leo asubuhi.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa SBL, Richard Wells baada ya Waziri Mkuu kuzindua Kliniki ya Macho iliyojengwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti mjini Moshi katika Hopitali ya KCMC Machi 25,2011.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...