

Mkuu wa Vipindi va EATV , Lydia Igarabuza akimkabidhi tuzo ya heshima kwa mwanamuziki wa dansi nchini Saidi Mabera anaeye shughudia katikati ni Mkuu wa Udhamini Kampuni ya Voda Com George Lweumbiza

Stara Tomasi akitoa burudani

Banana Zoro kushoto na Nassib Abdul ‘Diamond wakishambulia jukwaa
No comments:
Post a Comment