Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, March 31, 2011

PAMBANO LA KIMATAIFA LA NGUMI KUPIGWA TANZANIA…!!!


Bondia wa kumi nchini Tanzania Fransic Cheka akizungumza wa waandisha wa habari wakati wa kutambulisha mpambano wake wa kimataifa utakao pigwa Dar es Salaam 1/5/2011 kushoto ni Mratibu wa pambano hilo Shomari Kimbau




Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Aurora Shomari Kimbau (kushoto) akizungumzia kuhusu pambano la Kimataifa la ngumi baina ya Mtanzania Francis Cheka na Mmarekani Marcus Upshaw litakalofanyika Tarehe 1st,May, 2011 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam. Kulia ni Sales & Marketing Haris Omary.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...